watermark logo

Up next

Autoplay

Mbosso - Picha Yake Covers

1 Views • 27/09/22
Share
Embed
YouTube
YouTube
1 Subscribers
1

Mbosso - Picha Yake Covers

Mbwana Yusuf Kilungi, better known by his stage name Mbosso, is a Tanzanian singer and songwriter born in Kibiti, Pwani Region, he is currently based in Dar es Salaam and signed under WCB Wasafi record label. Mbosso is known for his songs "Nadekezwa" and "Hodari" which won Video of the Year at HiPipo Awards 2019.
Born: 3 October 1992 (age 29 years), Kibiti, Tanzania
Instruments: Vocal; Guitar
Also known as: Mbosso

Mbosso - Picha Yake Lyrics
Hee!! hee!!
La la aah aaah
Naishi naisha, hata sura inakosa nuru
Napukutika, mnyonge mwoga mi kunguru
Namridhisha na wa mwisho kwenye musururu
Penzi la kujificha, mbele za watu haiko huru
Sili nikashiba, mwanga ndani nje giza
Kanipa ratiba, zamu yangu kila jumapili
Moyoni mwiba, nahema kwa shida
Penzi msiba, lina niliza mimi yeeh
Siku nikifa nizikwe na picha yake yeye (Yee!le!Le!le!)
Naimani nitakutana na yeye (Aaaah-aaa!aa!a)
Siku nikifa nizikwe na picha yake yeye (yee!le!Le!le!)
Naimani huko tutakuwa wenyewe (lalala)
La la la la
Woo wo wo
La la la la
Uuu uu uu u
La la la la
Iye iye iyee le le
La la la la
Silali baridi, usiku natetemeka
Na mbaya zaidi, rafiki wananicheka
Silali baridi ye ye, usiku natetemeka
Mi najitahidi, ila siishi kusononeka
Mmh eh
Ona mawingu yamepambwa kwa rangi nzuri
Sio mimi wala wewe, ni mungu mwenyewe
Akaumba jua na mbingu, na mapenzi kama kivuli
Tujifiche mi nawe, sa mbona unaniacha mwenyewe
Wahenga walisha sema, ukipewa ukilema
Unapewa na mwendo, ila kwangu si neema
Yani sisimizi kumuua tembo
Ooh chanda chema
Limebaki neno
Hakuna mapendo
Nilipolenga nimedema
Moyo umekosa malengo, mama oh oh
Siku nikifa nizikwe na picha yake yeye (yee!le!Le!le)
Naimani nitakutana na yeye (Aaaa!-aaa!aa!a)
Siku nikifa, nizikwe na picha yake yeye (ee!le!Le!le)
Naimani huko, tutakuwa wenyewe (Lalala)
La la la la
Woo wo wo
La la la la
Uuu uu uu u
La la la la
Iye iye iyee le le
La la la la
Silali baridi, usiku natetemeka
Na mbaya zaidi, rafiki wananicheka
Silali baridi ye ye, usiku natetemeka
Mi najitahidi, ila siishi kusononeka
Silali baridi (La la la la)
Mi najitahidi (La la la la)

#Tune_Into #Beyond_Music #Mbosso_Pich_Yake

Show more
0 Comments sort Sort By
Facebook Comments

Up next

Autoplay